Kipindi hiki kinachohitajika
sana kimekuwa kikiimarika katika bara Afrika. Mapema mwaka huu kulikuwa na
uzinduzi wa Netflix katika soko la Afrika, hatua iliyofurahisha wateja wengi. Hatua
hii inajiri wakati ambapo Showmax cha Afrika Kusini kinatarajiwa kuingia katika
soko la Kenya. Mipango mengine ni ile ya ushirikiano wa kati ya Airtel na
Ericsson kuzindua huduma kwa jina NUVU.
Jun 22, 2016
Jun 8, 2016
Mgogoro TAFF ni vita vya panzi, furaha kwa kunguru
NIKIWA sijui hili wala lile hivi karibuni nilijikuta natumiwa
ujumbe wa WhatsApp kwenye simu yangu kutoka kwa mdau mmoja wa filamu. Ujumbe ambao
nilipoutazama kwa makini nikagundua kuwa haukuwa umeandikwa na mdau aliyenitumia
bali ama alitumiwa au aliukopi kutoka kwa mdau mwingine.
Ujumbe huu uliandikwa hivi: “Habari? Mungu hulipa hapa
hapa, tulimpakazia Bishop kila aina ya hila kulinda mambo yetu lakini tukajiona
washindi bila kujua dhambi kubwa tuitendayo itatuhukumu tulipo. Kwa tatizo hili
la Tanzanite film festival, Katibu tena atang’oka? Nasubiri muujiza. Hongera sana
ndugu yangu Bishop, dhuluma uliyofanyiwa inawahukumu.”
Subscribe to:
Posts (Atom)