![]() |
Peter Tosh |
![]() |
Filamu ya Off Side |
Sikuwa shabiki wa
muziki wa reggae, ila nilipolazimika kusikiliza reggae nilipenda nyimbo za Lucky
Dube na Peter Tosh. Wanamuziki wote wawili kwa sasa ni marehemu.
Ukiusikiliza kwa
makini ujumbe ndani ya wimbo wa Equal Rights, utagundua kuwa ni chemsha bongo
ya aina fulani. Maneno ya Peter Tosh katika wimbo huu yanaakisi hali halisi ilivyo
katika shughuli za sanaa Tanzania, hasa muziki na filamu.