* Wapo waliohusisha vifo hivi na kafara
![]() |
Marehemu George Otieno Okumu "Tyson" |
Marehemu Adam Phillip Kuambiana |
TUMEINGIA mwaka mpya 2015 tukitaraji mafanikio makubwa
zaidi na tukiuaga mwaka 2014 uliokuwa wa simanzi kwa tasnia ya filamu tulipokumbwa
na taharuki kufuatia vifo vilivyotokea mfululizo vya wasanii wa filamu
vilivyotokea katika muda mfupi mfupi. Kufuatia vifo hivyo tetesi zilienea mitaani
kwamba vifo hivyo vilitokana na kutoana kafara!