Jun 24, 2011

Channel mpya ya Kiswahili yazinduliwa na M-net Afrika jijini Dar es Salaam

 
Mkurugenzi Mtendaji wa M-Net Africa, Bilola Arabi
akizungumza wakati wa uzinduzi

Muigizaji maaruf wa Tanzania, Steven Kanumba 
akichanagia wakati wa uzinduzi


Juzi jioni, 22 Juni, 2011 kulifanyika uzinduzi wa channel mpya ya Kiswahili (Africa Magic Swahili) uliofanywa ndani ya hoteli ya Movenpick ya  jijini Dar es Salaam, Channel hiyo inatarajiwa kuanza kuruka hewani kuanzia Julai mosi, 2011, ambapo filamu za Bongo zitapata nafasi kubwa ya kuonekana kwenye channel hiyo.  Pia imebainika kuwa channel hiyo itakuwa ikirusha matangazo yake katika nchi zinazoongea Kiswahili ikiwemo Kenya, Uganda, Rwanda, Ethiopia, Burundi, Congo pamoja na DRC.

No comments: