Jan 7, 2011

SEMINA KUHUSU FILAMU ZA BONGO YAJA


 Prof. Martin Mhando

Ijumaa 14 Jan, 2011, Saa 1:00- 3:00 jioni
Kwenye ukumbi wa Alliance, NI BURE!

BONGO FILMS ZINAELEKEA WAPI?
 
Filamu za Bongo zinazidi kukamata mioyo na akili za Watanzania. Inasemekana kwamba soko la filamu za Bongo sasa limelipiku soko la filamu za Nollywood hapa nchini. Semina hii itajaribu kutoa mwanga juu ya hali halisi ya filamu za Bongo.
 
Profesa Mshiriki Martin Mhando, (Chuo Kikuu cha Murdoch) na Mkurugenzi wa Tamasha la ZIFF, ataongoza jopo la wadau na sinema na watayalishaji wa filamu za Bongo katika majadiliano ya kina ya sinema za Kitanzania na filamu za Bongo.
 

No comments: