Nov 25, 2009

Ndoa za mastaa zina nini?

Sauda Mwilima akimuuliza swali Ivony Cheryl maaruf kama Monalisa

Kumekuwa na minong'ono kuwa ndoa za mastaa  duniani (ikiwemo Tanzania) huwa hazidumu. Minong'ono hiyo imempelekea mtangazaji wa kipindi cha Mcheza Kwao cha Star TV, Sauda Mwilima kuwatafuta baadhi ya wasanii ili kupata undani wa sakata hili. Hii imetokea leo kwenye viwanja vya Basata wakati wasanii hao walipokuwa wakifuatilia hatma ya usajiri wa shirikisho lao.


Ndumbagwe Misayo (Thea) akihojiwa na Sauda Mwilima kuhusu ndoa za Mastaa kutodumu

No comments: