Katibu Mkuu, Bishop Hiluka (anayeandika) akijadiliana jambo na Msaidizi wake,
Simon Mwakifwamba (Jaspa) na mjumbe wa bodi Mike Sangu (aliyesimama) kabla ya mkutano kuanza.
Katika kuonesha kuwa Shirikisho la Watengeneza Filamu Tanzania (TAFF) linajizatiti katika kuhakikisha kuwa fani ya uigizaji wa filamu inasonga mbele, juzi lilifanya mkutano mkubwa na wadau wa filamu katika kuhimiza uanzishwaji wa vyama vya fani husika (kama Chama Cha Waigizaji, Chama Cha waongozaji, Chama Cha Waandishi wa Skripti, n.k).